Dalili za ugonjwa wa Ebola ni zipi?

Jua dalili za Ebola

Dalili za ugonjwa wa Ebola uanza kujitokeza kati ya siku 2 hadi 21 baada ya kupata maambukizi. Mgonjwa wa Ebola huwa na dalili zifuatazo:

  • Homa kali ya ghafla
  • Maumivu ya kichwa
  • Maumivu ya mwili, misuli na viungo
  • Kuharisha (kunaweza kuambatana na damu)
  • Kutapika (kunaweza kuambatana na damu)
  • Vipele mwilini
  • Kuvia damu chini ya ngozi au kutokwa na damu puani, mdomoni, machoni, na masikioni na sehemu ya haja ndogo na kubwa

Makala Inayofuata

Précédent Suivant

Average Rating: (0 reviews)

Leave Your Feedback

Recent Reviews

Notifications