Ebola ni nini?

Ebola ni ugonjwa wa hatari unaosababishwa na virusi.

Ebola ni ugonjwa wa hatari unaosababishwa na virusi. Ugonjwa huu ni miongoni mwa magonjwa yajulikanayo kama Homa za virusi zinazosababisha kutoka Damu mwilini. Ugonjwa huu unaathiri binadamu na wanyama kama vile nyani, ngedere, sokwe na popo.

Makala Inayofuata

Iliyotangulia

Average Rating: (0 reviews)

Leave Your Feedback

Recent Reviews

Notifications